Uzayuni

Kamanda wa Majeshi ya Iran aonya jeshi la kigaidi la Marekani na Israel

Kamanda wa Majeshi ya Iran aonya jeshi la kigaidi la Marekani na Israel

Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Meja Jenerali Mohammad Baqeri ametoa onyo kali na kusema ushirikiano wa jeshi la kigaidi la Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na waitifaki wao waliowapa vituo vya kijeshi ni tishio kwa usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Katika ujumbe, Meja Jenerali…

HAMAS: Utawala wa Kizayuni lazima uadhibiwe kwa kumuua Abu Akleh

HAMAS: Utawala wa Kizayuni lazima uadhibiwe kwa kumuua Abu Akleh

Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palesitna HAMAS amezungumzia ripoti ya jeshi la utawala wa Kizayuni baada ya utawala huo katili kumuua shahidi mwandishi Mpalestina, Shireen Abu Akleh na ametaka utawala huo dhalimu upewe adhabu kali. Shirika la habari la Anadolu limemnukuu Hazem Qassem akisema hayo na kuongeza kuwa, uchunguzi uliofanywa na jeshi…

Operesheni za kupambana na jinai za Wazayuni zimeongezeka sana 2022

Operesheni za kupambana na jinai za Wazayuni zimeongezeka sana 2022

Operesheni za kupambana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan zimeongezeka sana mwaka huu wa 2022. Hayo yametangazwa na shirika la habari la Shahab ambalo limeongeza kuwa, zaidi ya opereseheni 7,200 za muqawama wa wananchi wa Palestina zimeshafanyika katika Ukingozo wa Magharibi wa Mto Jordan tangu mwanzoni…

Kugonga mwamba juhudi za Israel za kuanzisha uhusiano wa kawaida na Pakistan

Kugonga mwamba juhudi za Israel za kuanzisha uhusiano wa kawaida na Pakistan

Viongozi kadhaa wa kidini, kisiasa, wanafikra na wasomi wa Kipakistan wamesema katika kongamano la kifikra kuhusu Palestina kwamba, juhudi za hivi karibuni za Marekani na vibaraka wake za kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Pakistan na Israel zimegonga mwamba. Mkutano wa Kamati ya Kuunga Mkono Jumuiya ya Palestina nchini Pazkistan ulifanyika Ijumaa iliyopita ya Septemba…

Wanajeshi wa Israel wamuua kijana Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi

Wanajeshi wa Israel wamuua kijana Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi

Vikosi vya kijeshi vya utawala ghasibu wa Israel vimempiga risasi na kumuua shahidi kijana mwingine wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo siku ya Jumatatu. Mpalestina huyo aliyekuwa na umri wa miaka 19 alipigwa risasi na kuuawa na jeshi la Israel wakati wa uvamizi mapema Jumatatu huko Qabatiya, kusini mwa…

Mkuu wa zamani wa jeshi la Kizayuni: Israel haiwezi kuishambulia kijeshi Iran

Mkuu wa zamani wa jeshi la Kizayuni: Israel haiwezi kuishambulia kijeshi Iran

Mkuu wa zamani wa majeshi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Shaul Mofaz amesema, Wairani ni watu werevu sana na wanao uwezo wa kuhakikisha wanapata haki zao za kinyukilia; na akakiri kwa kusema, Tel Aviv haina uwezo wa kuchukua hatua ya kijeshi dhidi ya Tehran. Mofaz ameyasema hayo katika mahojiano na Kanali 12 ya…

Israel imewaua Wapalestina zaidi ya 110 Mwaka huu

Israel imewaua Wapalestina zaidi ya 110 Mwaka huu

Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limeua Wapalestina zaidi ya 110 na kuwajeruhi wengine wengi hadi sasa mwaka huu. Katika  taarifa, Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Palestina, limesema “Hadi sasa mwaka  huu, mashambulizi ya Jeshi la Utawala wa Israel yamewaua Wapalestina 111, watoto 24 na wanawake 8.” Aidha taarifa hiyo imebaini kuwa,…

HAMAS: Vita dhidi ya Israel vitaendelea mpaka mateka wote wa Kipalestina watakapoachiliwa huru

HAMAS: Vita dhidi ya Israel vitaendelea mpaka mateka wote wa Kipalestina watakapoachiliwa huru

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, vita dhidi ya utawala haramu wa Israel vitaendelea mpaka pale mateka wote wa Kipalestina wanaoshikiliwa na utawala huo ghasibu watakapoachiliwa huru. Hayo yameelezwa na Zaher Jabarin, afisa wa Hamas anayeshughulikia faili la mashahidi na mateka wa Palestina na kueleza kwamba, harakati hiyo haitapata utulivu na…