Uzayuni

Israel yaua shahidi Wapalestina 2; yashambulia Syria kwa makombora

Israel yaua shahidi Wapalestina 2; yashambulia Syria kwa makombora

Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza jinai na chokochoko zake dhidi ya mataifa mawili ya Waislamu katika eneo hili la Asia Magharibi. Wanajeshi makatili wa utawala huo pandikizi wamewaua shahidi mabarobaro wawili wa kiume wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Kituo cha Habari cha Palestina kimeripoti kuwa, vijana hao wa Kipalestina Yazan Afana…

Shambulio la kombora la Israel kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Aleppo

Shambulio la kombora la Israel kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Aleppo

Vyombo vya habari vya Syria vimeripoti kuwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Aleppo ulioko kaskazini magharibi mwa Syria ulishambuliwa kwa makombora kadhaa. Vyanzo hivyo viliripoti kua sauti ya milipuko kadhaa ilisikika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Aleppo Jumatano jioni. Likithibitisha habari hii, shirika rasmi la habari la Syria SANA limeripoti kuwa milio…

Russia: Mashambulizi dhidi ya Syria yamefichua undumakuwili wa Magharibi

Russia: Mashambulizi dhidi ya Syria yamefichua undumakuwili wa Magharibi

Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulio haramu ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria na kusisitiza kuwa, hujuma hizo zimefichua sura halisi ya Wamagharibi likija suala la haki za binadamu. Vasily Nebenzia amesema hayo katika hotuba yake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kuongeza kuwa, “Israel…

Amir-Abdollahian: Iran inafuatilia kuhakikisha kunafikiwa makubaliano ya kudumu katika mazungumzo ya Vienna

Amir-Abdollahian: Iran inafuatilia kuhakikisha kunafikiwa makubaliano ya kudumu katika mazungumzo ya Vienna

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mazungumzo ya Vienna ya kuondolewa vikwazo taifa hili na kusema kuwa, Tehran inafuatilia kwa nguvu zote kuhakikisha kunafikiwa makubaliano ya kudumu. Hussein Amir-Abdollahian, amesema hayo katiika mkutano wake na waandishi wa habari mjini Moscow akiwa pamoja na mwenyeji wake, Sergey Lavrov, Waziri wa…

Sheikh Issa Qassim: Kujengwa kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi Manama ni jinai

Sheikh Issa Qassim: Kujengwa kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi Manama ni jinai

Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amekosoa viikali uamuzi wa utawala wa Aal Khalifa wa kuanzisha kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi katika mji mkuu Manama na kueleza kwamba, hatua hiyo ni jinai na dhulma ya wazi dhidi ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu. Sheikh Issa Qassim, kiongozi wa kimaanawi wa Mapinduzi ya Wananchi wa…

Sisitizo la kuendelezwa “medani za pamoja za mapambano” na kuangaliwa Israel kama adui wa pamoja wa Wapalestina wote

Sisitizo la kuendelezwa “medani za pamoja za mapambano” na kuangaliwa Israel kama adui wa pamoja wa Wapalestina wote

Huku utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ukiwa umeanzisha vita vikali vya kisaikolojia katika siku za hivi karibuni kuulenga uhusiano wa Hamas na Jihadul-Islami, viongozi wa harakati hizo mbili za muqawama za Palestina wamesisitiza katika mazungumzo yao kwamba wameungana na wako kitu kimopja katika mapambano yao dhidi ya utawala huo ghasibu. Hivi karibuni, utawala wa…

Iran: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni msingi wa utulivu na usalama

Iran: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni msingi wa utulivu na usalama

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Ali Bagheri Kani amesema utatuzi wa kadhia ya Palestina ndio msingi wa kuanzishwa utulivu na usalama Asia Magharibi (Mashariki ya Kati), na kueleza kwamba mpango wowote unaopuuza haki za taifa la Palestina husababisha kukosekana utulivu na kuvuruga usalama wa eneo hilo. Bagheri Kani aliyasema hayo katika mkutano…

Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

Kufuatia matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Nader Hashemi, Mhadhiri na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Mashariki ya Kati katika Chuo Kikuu cha Denver, kuhusiana na uwezekano wa Israel kuhusika katika shambulio dhidi ya Salman Rushdie, Warepublican katika Congress ya Marekani wameonya kuhusu ushawishi wa Iran katika vyuo vikuu vya nchi hiyo na kutangaza kwamba…