Uzayuni

Maldives kuwapiga marufuku Waisraeli kuingia nchini humo

Maldives kuwapiga marufuku Waisraeli kuingia nchini humo

Maldives imetangaza kuwa itawapiga marufuku wenye paspoti za utawala haramu wa Israel kuingia katika visiwa hivyo vinavyopatikana katika Bahari ya Hindi. Serikali ya Jamhuri ya Maldives imesema inaandaa sheria ya kuwapiga marufuku Waisraeli kuingia katika nchi hiyo ndogo ya Asia Kusini, ambayo aghalabu ya wakazi wake ni Waislamu. Msemaji wa Ofisi ya Rais Mohamed Muizzu wa…

Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa mapinduzi kwa wanafunzi wa Marekani wanaounga mkono taifa madhulumu la Palestina

Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa mapinduzi kwa wanafunzi wa Marekani wanaounga mkono taifa madhulumu la Palestina

Kulingana na Rais wa Chuo Kikuu cha Amir Kabir, Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuunga mkono harakati za wanafunzi wa Marekani wanaounga mkono taifa la Palestina ni jambo lenye kuwapa nguvu na kuwatia moyo wale wapenda uhuru. Makundi ya muqawama ya Palestina yalianzisha operesheni ya kushtukiza maarufu kama kimbunga…

Mashauriano ya nchi za Umoja wa Ulaya kuhusu vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni

Mashauriano ya nchi za Umoja wa Ulaya kuhusu vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni

Israel kuwekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya kutokana na jinai zake Rafah Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ireland amesema kuwa, kwa mara ya kwanza Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya wamejadili kwa kina uwezekano wa kuuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni iwapo hautatekeleza amri ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ya…

Mkuu wa zamani wa Mossad: Kusitisha vita ndiyo njia pekee ya kuwarudisha mateka kutoka Gaza

Mkuu wa zamani wa Mossad: Kusitisha vita ndiyo njia pekee ya kuwarudisha mateka kutoka Gaza

Mkuu huyo wa zamani wa wakala wa kijasusi wa Kizayuni (Mossad) alikiri kwamba kusimamisha vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza na kukubali ushindi wa muqawama wa Palestina ndiyo njia pekee ya kuwakomboa wafungwa wa Kizayuni. Kutoka kwa shirika la habari la Palestina “Sama”, “Tamir Pardo” katika mazungumzo na vyombo vya habari vya utawala unaowakalia kwa…

Waziri wa Israel: Mashambulizi ya Iran yameharibu kambi mbili kuu za jeshi; akejeli taarifa za Israel kushambulia Iran

Waziri wa Israel: Mashambulizi ya Iran yameharibu kambi mbili kuu za jeshi; akejeli taarifa za Israel kushambulia Iran

Waziri wa Usalama wa Ndani ya serikali ya Benjamin Netayahu amekiri kwamba shambulio la kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel limesababisha hasara kubwa za kijeshi kwa utawala wa Kizayuni na wakati huo huo ameziita taarifa zilizodai kuwa utawala wa Kizayuni umefanya shambulizi ndani ya Iran leo Ijumaa kuwa ni istihzai. Mkanda wa video ulioenea…

Msaada wa kutatanisha wa mwigizaji wa Italia kwa Wapalestina

Msaada wa kutatanisha wa mwigizaji wa Italia kwa Wapalestina

Mwigizaji maarufu kutoka nchini Italia ameonyesha msimamo wake wa kuwaunga mkono Wapalestina katika tamasha la filamu, jambo ambalo limezua hisia nyingi. Kwa mujibu wa shirika la habari la Anatolia la Türkiye, uungaji mkono wa mwigizaji huyo maarufu wa Italia kwa Wapalestina katika tamasha la filamu limezua hisia nyingi katika kurasa za habari. Kuhusiana na hili,…

Risasi karibu na ubalozi wa Wazayuni nchini Sweden

Risasi karibu na ubalozi wa Wazayuni nchini Sweden

Vyombo vya habari vya ndani vimeripoti kuwa mapema asubuhi ya leo, risasi zilifyatuliwa karibu na Ubalozi wa Israel katika mji mkuu wa Uswidi. Afisa wa Uhusiano wa Umma wa Idara ya Polisi ya Stockholm aliliambia gazeti la “Expressen” kwamba asubuhi ya leo polisi wa doria walisikia sauti ya milipuko mikubwa, ambayo inaonekana ilitoka kwa bunduki….

Maandamano ya Wazayuni dhidi ya Baraza la Mawaziri la Netanyahu katika Siku ya Nakba

Maandamano ya Wazayuni dhidi ya Baraza la Mawaziri la Netanyahu katika Siku ya Nakba

Moja ya matukio muhimu yaliyojiri katika Siku ya Nakba mwaka huu ni maandamano yaliyofanywa na Wazayuni wanaopinga vita dhidi ya Gaza. Wazayuni hao waliandamana mbele ya jengo la Wizara ya Vita ya Israel huko Tel Aviv. Jana tarehe 15 Mei ilisadifiana na kumbukumbu ya maadhimisho ya miaka 76 ya Nakba. Kila mwaka, tarehe 14 na 15…