Uzayuni

Wazayuni wajuta kumshinikiza Trump ajitoe katika makubaliano ya nyuklia JCPOA mwaka 2018

Wazayuni wajuta kumshinikiza Trump ajitoe katika makubaliano ya nyuklia JCPOA mwaka 2018

Wakuu wa masuala ya usalama wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wameonyesha majuto kwa hatua ya utawala huo ya kumshinikiza rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ajitoe kwenye makubaliano ya nyuklia JCPOA mwaka 2018. Ripoti iliyotolewa na chaneli ya televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya KAN 11 kuhusu mazungumzo yanayohusiana na makubaliano ya…

Sheikh Ikrima Sabri: Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu

Sheikh Ikrima Sabri: Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu

Khatibu wa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina amesema kuwa, Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu kabisa. Sheikh Ikrima Sabri amesema kuwa, moto katika Msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu bado haujazimika. Akizungumza kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka ambao Wazayuni walikichoma moto Kibla cha Kwanza cha Waislamu…

Salami: Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan umo mbioni kujizatiti kwa silaha dhidi ya Wazayuni

Salami: Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan umo mbioni kujizatiti kwa silaha dhidi ya Wazayuni

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, mapambano dhidi ya utawala haramu wa Israel yamefika hadi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuongeza kuwa, hivi sasa eneo hilo limo mbioni kujizatiti kwa silaha kwa ajili ya kukabiliana na Wazayuni maghasibu. Brigedia Jenerali Hussein Salami sambamba…

Uhusiano wa Uturuki na Israel walipiga jambia kwa nyuma taifa la Palestina

Uhusiano wa Uturuki na Israel walipiga jambia kwa nyuma taifa la Palestina

Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Ukombozi wa Wananchi wa Palestina amelaani vikali hatua ya Uturuki ya kurejesha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel. Jumatano iliyopita, Uturuki na utawala wa Kizayuni zilikubaliana kufufua uhusiano baina yao baada ya kusimama kwa muda wa miaka minne. Mwaka 2018 Uturuki ilisimamisha uhusiano…

Yemen yaonya kuhusu harakati za kutia shaka za askari wa US, Ufaransa

Yemen yaonya kuhusu harakati za kutia shaka za askari wa US, Ufaransa

Bunge la Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen limetadharisha kuhusu harakati na nyendo za kutiliwa shaka za wanajeshi wa Marekani na Ufaransa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu. Katika taarifa, Bodi ya Uongozi ya Bunge la Yemen imesema harakati hizo za wanajeshi wa Marekani na Ufaransa ambao ni waungaji…

Oman yasisitizia msimamo wake wa kutoruhusu ndege za Israel kutumia anga yake

Oman yasisitizia msimamo wake wa kutoruhusu ndege za Israel kutumia anga yake

Oman imesisitizia msimamo wake wa kukataa kuruhusu ndege za utawala wa haramu wa Israel kuruka katika anga yake. Wakati Oman ikiendelea kusisitizia msimamo wake huo, gazeti moja ya Kiebrania limedai kwamba, eti mashinikizo ya Iran ndiyo yanayoufanya utawala wa Oman kung’ang’ania msimamo huo. Gazeti la Israel Hayom lilidai katika chapisho lake jana kwamba, msimamo huo…

HAMAS: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

HAMAS: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

Mousa Mohammed Abu Marzook, Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Marekani ni mshirika wa jinai zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina. Mousa Abu Marzook amesema hayo katika radiamali yake kwa taarifa zilizosambaa zinazodai kuweko mawasiliano ya siri ya Marekani…

HAMAS: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni juhudi za kushindwa kufuta alama za Kiislamu Quds

HAMAS: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni juhudi za kushindwa kufuta alama za Kiislamu Quds

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani vikali kuendelea kupasishwa mipango ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kkwa mabavu za Palestina. Taarifa ya Hamas imesisitiza kuwa, ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo ya Palestina ni juhudi za Israel baada ya kushindwa njama zake za kufuta…