Vyombo vya habari vya Kizayuni: Somalia inajaribu kuafikiana na Tel Aviv
Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vilidai kwamba serikali ya Somalia inajaribu Kurekebisha mahusiano na utawala huo na kujaribu kuurudisha katika hali ya kawaida. Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Fars, vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vilidai kuwa Mogadishu imeamua kuchunguza suala la kuhalalisha uhusiano na utawala…
Balozi wa Palestina aitaka jumuiya ya kimataifa kuilaani Israel
Haya ni maneno ya Balozi wa Palestina nchini Tanzania akiitaka Jumuiya ya kimataifa ilaani vitendo vya utawala haramu wa Israel kama inavyolaani vitendo vya Russia huko Ukraine, Dar es Salaam. Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali ameitaka jumuiya ya kimataifa kulaani vitendo vya Israel kukiuka makubaliano na Palestina kama ambavyo wamekuwa wakilaani uvamizi wa…
Iran: Israel ndio mzizi wa ugaidi na ukosefu wa usalama Asia Magharibi
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio chimbuko la vitendo vya kigaidi na ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo hili la Asia Magharibi. Naser Kan’ani alisema hayo jana Jumanne na kuongeza kuwa, hatua ya Marekani kuukingia kifua na kuunga mkono utawala…
Maseneta waitaka serikali ya Biden kuwajibika kuhusu uchunguzi wa mauaji ya Shireen
Maseneta wa chama cha Democratic cha Marekani wameitaka serikali ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo kuwajibika kuhusu uchunguzi unaohusu mauaji ya mwandishi wa habari wa Palestina wa televisheni ya Al Jazeera, Shireen Abu Akleh. Ni baada ya Umoja wa Mataifa kumesema kuwa taarifa ulizokusanya zinaonesha kuwa, Shireen Abu Akleh, mwandishi wa habari wa televisheni ya…
MAREKANI, TANZANIA KIWAKILISHI CHA ‘DUNIA’ MBILI KATI YA TATU ZINAZOKIDHANA KUHUSU ISRAEL
Uchambuzi wa Kisiasa kuhusu Uhusiano wa Tanzania na Israel. MAPEMA wiki iliyopita na wiki hii dunia imeshuhudia historia ikiwekwa kwa husiano za kidiplomasia linapokuja Taifa la Israel baada ya Tanzania na Marekani kwa nyakati hizo mbili tofauti kufungua balozi mpya katika Taifa hilo la Mashariki ya Kati. Wakati Tanzania ikifungua ubalozi mara ya kwanza nchini…
Sugu, Zitto wafunguka safari za Magufuli, uhusiano wa Tanzania kimataifa
Wabunge hawa ni moja wapo wa Wanasiasa wa Tanzania waliopinga na kukerwa na kuanzishwa upya kwa uhusiano wa Tanzania na Utawala haramu wa Israel. Dodoma. Safari chache za nje ya nchi zilizofanywa na Rais John Magufuli tangu aingie madarakani na uhusiano wa kimataifa wa Tanzania na nchi kadhaa, ni baadhi ya mambo yaliyogusa mjadala wa…
Hamas: Kuchomwa wakiwa hai wanajeshi wa Misri na utawala wa Israel kunadhihirisha dhati ya ukatili
Ikitoa radiamali yake kwa habari kuhusu kuchomwa wakiwa hai makumi ya wanajeshi wa Misri katika vita vya mwaka 1967; Harakati ya Muqawama ya Palestina (Hamas) imesema kitendo hicho kinadhihirisha dhati ya ukatili na kutenda jinai ya utawala wa Kizayuni. Gazeti la Yediot Aharanoth wiki hii lilifichua kuwa, utawala wa Kizayuni baada ya kupita zaidi ya miaka…
Uhusiano wa Tanzania, Israel ulivyoibua mjadala mpya wa kidiplomasia nchini
Haya ni baadhi ya maoni yaliotolewa na Watalaamu na Wachambuzi wa Siasa na uhusiano wa Kimataifa baada ya Tanzania kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel. Mapema wiki hii historia ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel uliingia katika sura mpya. Dunia imeshuhudia Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Dk Augustine Mahiga…