Uzayuni

Ushindi wa Abu Hawash baada ya kushikwa mateka kwa siku 141 za vita “bila ya chochote tumboni”

Ushindi wa Abu Hawash baada ya kushikwa mateka kwa siku 141 za vita “bila ya chochote tumboni”

Shirika la habari la Palestina lilizungumza na Shirika la Habari la Ma’an kuhusu kesi ya Hisham Abu Hawash, ambaye alikuwa kwenye mgomo wa kula kwa siku 141, ilifungwa baada ya shinikizo kubwa kwa nchi ya Israeli. Shirika hilo lilisisitiza kuwa, makubaliano yalifikiwa kuashiria kwamba Abu Hawash ataachiliwa huru Februari tarehe 26 bila kuongezwa muda na…

Nakhaale: Shahidi Suleimani ni alikua kiongozi wa wanamgambo wa Palestina na mtetezi wa kadhia ya Palestina.

Nakhaale: Shahidi Suleimani ni alikua kiongozi wa wanamgambo wa Palestina na mtetezi wa kadhia ya Palestina.

Ziyad Nakhaaleh, Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina amesema katika maadhimisho ya mwaka wa pili wa kuuawa shahidi Jenerali Haj Qassem Soleimani, Abu Mahdi al-Mohandes na masahaba wengine huko Beirut:Damu ya Shahidi Sulemani ilimwagika kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa kikwazo kikubwa kwa siasa za Marekani na utawala wa Kizayuni. Aliongeza kuwa:…

Sheikh Hammoud: Walioanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejitia matatani

Sheikh Hammoud: Walioanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejitia matatani

Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Muqawama amesema kuwa, walioanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejitia matatani. Sheikh Maher Hammoud amesifu mchango na nafasi ya mashahidi Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis katika kukabiliana na njama chafu za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kueleza kwamba,…

Walowezi wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina Ukingo wa Magharibi mida ya usiku

Walowezi wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina Ukingo wa Magharibi mida ya usiku

Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamefanya hujuma na mashambulio dhidi ya nyumba za Wapalestina katika kitongoji cha al-Laban kusini mwa mji wa Nablos kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu. Hujuma na mashambulio hayo ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina ambapo walikuwa wakisaidiwa na kupata himaya ya jeshi la utawala…

Idadi ya wanajeshi watoro yaongezeka katika jeshi la Israeli

Idadi ya wanajeshi watoro yaongezeka katika jeshi la Israeli

Miongoni mwa habari za Israel zimeripoti kuwa idadi ya askari wanaotoroka jeshi la utawala huo inaongezeka kadri siku zinavyokwenda.   Tovuti ya lugha ya Kiebrania ya “Walla” imeripoti kuwa, mwaka huu wa 2021 pekee idadi ya askari wa Isael wanaozungumza lugha y Kiarabu waliotoroka kutokana na kubaguliwa na vilevile wanajeshi wa kawaida wanaotoroka huduma za…

Iran Yalaani Mashambulizi ya Israel dhidi ya Latakia ya Syria

Iran Yalaani Mashambulizi ya Israel dhidi ya Latakia ya Syria

TEHRAN (FNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesikitishwa na mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya maghala ya chakula na dawa huko Latakia ya Syria, na kuutaja utawala wa Kizayuni kuwa chanzo cha ukosefu wa utulivu katika eneo hilo. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Saeed Khatibzadeh mnamo Jumatano…

Kuondolewa vikwazo Iran; siri ya mafanikio ya mazungumzo ya Vienna

Kuondolewa vikwazo Iran; siri ya mafanikio ya mazungumzo ya Vienna

Mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 4+1 linaloundwa na mataifa ya Russia, China, Uingereza, Ufaransa pamoja Ujerumani yaliendelea tena leo huko Vienna Austria maudhui kuu ikiwa ni suala la kuondolewa vikwazo na kutilia mkazo mapendekezo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu masuala mawili muhimu, yaani uhakika kwamba vikwazo vimeondolewa na dhamana yake….

Kwa nini Marekani inaisaidia israeli?

Kwa nini Marekani inaisaidia israeli?

Hivi karibuni mbunge wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani mwenye asili ya Somalia, Ilhan Omari aliomba radhi baada ya kutoa matamshi yaliyotafsiriwa na watu wengi kuwa ni ya chuki dhidi ya Wayahudi. Mwakilishi huyo alihusisha kamati ya masuala ya umma ya Marekani na Israel (AIPAC) kuwa inatumia pesa kuwahonga wanasiasa wa…