Vyombo vya Habari

Watu 150 wauawa kwa siku mbili katika mapigano ya kugombea ardhi Sudan

Watu 150 wauawa kwa siku mbili katika mapigano ya kugombea ardhi Sudan

Kwa akali watu 150 wameuawa nchini Sudan katika mapigano ya siku mbili ya kikabila yaliyochochewa na mizozo ya ardhi katika jimbo la kusini mwa nchi hiyo la Blue Nile. Ripoti zinasema kuwa, mapigano katika eneo lenye matatizo la Blue Nile nchini Sudan yalizuka wiki iliyopita baada ya kuripotiwa ugomvi kuhusu ardhi kati ya watu wa…

FAO : Zaidi ya watu milioni 4 wameathiriwa vibaya na ukame nchini Kenya

FAO : Zaidi ya watu milioni 4 wameathiriwa vibaya na ukame nchini Kenya

Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, zaidi ya watu milioni 4 wameathiriwa vibaya na ukame nchini Kenya. Maelfu ya watoto wanahangaika kupata lishe huku baadhi ya wanafunzi wakilazimika kuacha shule kutokana na makali ya njaa yanayozikabili familia zao. Ripoti ya FAO inaeleza kuwa, katika Kaunti za kaskazini mashariki mwa…

Mtandao wa Twitter wafuta akaunti bandia ili kuzuia mvutano katika uchaguzi wa Kizayuni

Mtandao wa Twitter wafuta akaunti bandia ili kuzuia mvutano katika uchaguzi wa Kizayuni

Twitter iliondoa akaunti 40 feki kutokana na kuongezeka kwa mvutano wa uchaguzi katika utawala wa Kizayuni. Kwa mujibu wa gazeti la The Times of Israel, Twitter imeondoa mtandao wa akaunti 40 feki ambazo zilitumika kushawishi mijadala ya kisiasa nchini Israel na kuongeza mvutano miongoni mwa wapiga kura wa mrengo wa kulia kabla ya uchaguzi wa…

Kaburi la umati lenye miili 25 laguduliwa kaskazini mwa Malawi

Kaburi la umati lenye miili 25 laguduliwa kaskazini mwa Malawi

Malawi imetangaza kuwa, imegundua kaburi la umati kaskazini mwa nchi hiyo lenye mabaki ya watu 25 wanaoshukiwa kuwa wahamiaji kutoka Ethiopia. Taarifa iliyotolewa na polisi ya Malawi imeeleza kuwa, “kaburi hilo liligunduliwa Jumanne jioni, lakini tulilizingira na kuanza kufukua jana. Kufikia sasa, tumegundua miili 25. Hayo yameelezwa na  msemaji wa polisi ya Malawi Peter Kalaya…

Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss amejiuzulu wadhifa wake huo leo baada ya kuushikilia kwa siku 45 tu. Katika hotuba fupi, Truss amesema inabidi kuondoka madarakani kwa ajili ya umoja wa chama chake cha Conservative na maslahi ya taifa. Liz Trus amekuwa akikabiliwa na mashinikizo makubwa kutoka ndani ya chama cha kihadhina kufuatia sera ya…

Jaribio jipya la BBC katika kuendeleza ghasia

Jaribio jipya la BBC katika kuendeleza ghasia

Kufuatia upungufu wa ghasia ndani ya siku chache zilizopita , vyombo vya habari vya kutuliza ghasia vitahitaji miradi mipya ili kuzuia ghasia hizo kuisha. Huku ghasia hizo zikimalizika, vyombo vya habari vya kutuliza ghasia vitahitaji miradi mipya ili kuzuia ghasia hizo kuisha. Kuhusiana na hili, taswira ya baadhi ya polisi wakikutana na wafanya fujo bila…

Vikwazo vipya vya Uingereza dhidi ya Iran katika kuunga mkono maandamano

Vikwazo vipya vya Uingereza dhidi ya Iran katika kuunga mkono maandamano

Kufuatia misimamo ya nchi za magharibi katika kuingilia kati na kuunga mkono wafanya ghasia, serikali ya Uingereza ilitangaza kuwa imeweka vikwazo vipya dhidi ya polisi wa usalama wa maadili na maafisa wakuu wa usalama wa Iran. Kufuatia misimamo ya uingiliaji kati ya nchi za Magharibi na kuunga mkono wafanya ghasia, serikali ya Uingereza ilitangaza katika…

“BBC” inampango wakuzifunga redio zake za lugha ya Kiajemi na Kiarabu

“BBC” inampango wakuzifunga redio zake za lugha ya Kiajemi na Kiarabu

Idhaa ya Kiingereza ya “BBC” ilitangaza kuwa kutokana na matatizo ya kifedha, itafunga redio zake za lugha ya Kiajemi na Kiarabu huku ikiwaachisha kazi mamia ya wafanyakazi wake. Wakati ikifichua habari za kufungwa kwa vipindi vyake vya redio kwa lugha za Kiajemi na Kiarabu, idhaa ya Kiingereza ya “BBC” iliripoti kuwa wafanyikazi wake 382 kote…