Vyombo vya Habari

Rais wa Burundi amtimua Waziri Mkuu kufuatia tetesi za mpango wa mapinduzi

Rais wa Burundi amtimua Waziri Mkuu kufuatia tetesi za mpango wa mapinduzi

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amemfuta kazi waziri mkuu wake, Alain Guillaume Bunyoni baada ya kuonya kuhusu njama ya “mapinduzi” dhidi yake. Ndayishimiye amemfuta kazi Guillaume Bunyoni na mkuu wa baraza lake la mawaziri, Jenerali Gabriel Nizigama, katika siku ya taharuki kubwa kwenye nchi hiyo yenye machafuko ya Afrika ya Kati. Alain Guillaume Bunyoni alikuwa…

Rais Putin: Vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia ni hatari kwa ulimwengu wote

Rais Putin: Vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia ni hatari kwa ulimwengu wote

Rais Vladmir Putin wa Russia ameshutumu vikwazo vilivyowekwa na madola ya magharibi dhidi ya Russia akisema ni hatari kwa dunia nzima. Putin ameyasema hayo wakati wa hotuba yake kwenye Kongamano la Uchumi la Mashariki katika mji wa bandari wa Mashariki ya Mbali wa Vladivostok leo Jumatano, na kuongeza kuwa madola ya Magharibi yamehujumu uchumi wa…

Afisa wa Hamas: Ukingo wa Magharibi umekuwa kitovu cha muqawama

Afisa wa Hamas: Ukingo wa Magharibi umekuwa kitovu cha muqawama

Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Jenin vimekuwa hifadhi na nguzo ya muqawama. Vijana na makundi ya muqawama ya Palestina yametangaza mara kadhaa kuwa, mapambano baina yao na utawala haramu wa Israel unaoikalia Quds kwa mabavu yako wazi kote Palestina…

Kuendelea mwenendo wa Uturuki wa kufufua uhusiano wake na Israel

Kuendelea mwenendo wa Uturuki wa kufufua uhusiano wake na Israel

Baada ya miaka 15, sasa ndege za utawala haramu wa Israel zinaweza kufanya safari nchini Uturuki. Yair Lapid, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel ametangaza habari ya kupasishwa hati ya makubaliano ya mahusiano ya safari za ndege baina ya Uturuki na utawala huo. Amesema hayo katika kikao cha hivi karibuni cha Baraza la Mawaziri…

Mkusanyiko wa kulalamikia kufukuzwa nchini Ufaransa Imam wa Swala ya Jamaa

Mkusanyiko wa kulalamikia kufukuzwa nchini Ufaransa Imam wa Swala ya Jamaa

Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu katika mataifa ya Ulaya hususan Ufaransa ungali unaendelea. Katika fremu hiyo, Baraza la Utawala la Ufaransa, limeidhinisha hukumu ya kufukuzwa nchini humo Hassan Iquioussen Imam wa Swala ya Jamaa mwenye asili ya Morocco kwa tuhuma za kueneza chuki dhidi ya Mayahudi. Pamoja na…

HAMAS: Utawala wa Kizayuni lazima uadhibiwe kwa kumuua Abu Akleh

HAMAS: Utawala wa Kizayuni lazima uadhibiwe kwa kumuua Abu Akleh

Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palesitna HAMAS amezungumzia ripoti ya jeshi la utawala wa Kizayuni baada ya utawala huo katili kumuua shahidi mwandishi Mpalestina, Shireen Abu Akleh na ametaka utawala huo dhalimu upewe adhabu kali. Shirika la habari la Anadolu limemnukuu Hazem Qassem akisema hayo na kuongeza kuwa, uchunguzi uliofanywa na jeshi…

Timu zote 5 za Afrika mara hii zinaongozwa na makocha wazawa katika kombe la dunia Qatar

Timu zote 5 za Afrika mara hii zinaongozwa na makocha wazawa katika kombe la dunia Qatar

Kombe la Dunia la Qatar 2022 litakuwa la kihistoria kwa mchezo wa soka barani Afrika, kwa sababu nchi zote tano za bara hilo zinazoshiriki katika michuano ya kuwania kombe hilo ambazo ni Morocco, Senegal, Cameroon, Tunisia na Ghana zitaongozwa na makocha Waafrika. Kwa mujibu ripoti ya toleo la leo la gazeti la Kayhan, kocha Mbosnia…

Baada ya kuthibitishwa ushindi wa Ruto, sasa wabunge na maseneta Kenya kukutana Septemba 8

Baada ya kuthibitishwa ushindi wa Ruto, sasa wabunge na maseneta Kenya kukutana Septemba 8

Wabunge na maseneta wateule nchini Kenya wanatarajiwa kufanya vikao vyao vya kwanza kabisa siku ya Alkhamisi ya wiki hii, Septemba 8, 2022 siku chache baada ya Mahakama ya Juu ya nchi hiyo kutupilia mbali mashitaka ya mgombea urais Raila Odinga na kudhibitisha ushindi wa Dk William Ruto kama ulivyotangazwa na tume ya uchaguzi ya IEBC….