Shirika la habari la Palestina lilizungumza na Shirika la Habari la Ma’an kuhusu kesi ya Hisham Abu Hawash, ambaye alikuwa kwenye mgomo wa kula kwa siku 141, ilifungwa baada ya shinikizo kubwa kwa nchi ya Israeli. Shirika hilo lilisisitiza kuwa, makubaliano yalifikiwa kuashiria kwamba Abu Hawash ataachiliwa huru Februari tarehe 26 bila kuongezwa muda na…