
Sisitizo la kulaaniwa kuvunjiwa heshima Msikiti wa Al-Aqsa
Nchi za Kiarabu na Kiislamu zimesisitiza ulazima wa kulaaniwa kitendo cha Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala ghasibu wa Israel cha kuuvunjia heshima Msikiti wa Al-Aqsa. Itamar Ben-Gvir, Waziri mpya wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni, Jumanne asubuhi, na ikiwa ni katika wiki yake ya kwanza ya kazi akiwa na kundi jingine…

Polisi ya utawala wa Kizayuni yatangaza hali ya hatari baada ya miripuko ya al Quds
Polisi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza hali ya hatari katika ardhi zote zinazokaliwa kwa mabavu ikihofia uwezekano wa wana muqawama wa Palestina kuekeleza tena oparesheni dhidi ya Wazayuni. Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza hali hiyo ya hatari katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ambapo vyombo vya habari jana asubuhi viliripoti kujiri miripuko miwili…

Kiongozi Muadhamu: Kuhudhuria kwa wananchi katika maandamano ya leo ni utetezi wa kweli wa Al-Quds / Mipango ya mapatano na Wazayuni imebatilishwa / Kipofu hawezi tena kuwa kipofu!
Katika Hotuba yake ya Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Ali Khamenei alizungumza katika siku hii inayosadifiana na Siku ya Kimataifa ya Quds iliyorushwa moja kwa moja na kupitia televisheni akisema; ‘Salamu kwa taifa lao kuu la Iran, ambalo limeunda historia siku hii ya…

Siku ya Kimataifa ya Quds na matukio mapya ya kistratijia katika uwanja wa Palestina
Kama dalili zinavyoonyesha, mwaka huu Wapalestina wataadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds kwa msisimko na shauku maalumu. Huenda ni msisimuko na shauku hiyo ndiyo inayapa maadhimisho ya mwaka huu ya Siku ya Kimataifa ya Quds sifa maalumu na ya kipekee. Inaonekana kuna mambo kadhaa ambayo yameibua msisimko katika uwanja huo. La kwanza ni kuwa katika…