Kwa mujibu wa ripoti zilizochapishwa, Taliban imeondoa likizo au siku ya maombolezo ya Ashura katika kalenda rasmi ya Afghanistan na badala yake kuweka mahala pake matukio kadhaa yanayohusiana nayo. Hii ni katika hali ambayo kabla ya hapo siku hii ya Ashura ilikuwa imesajiliwa katika kalenda rasmi ya Afghanistan kama siku ya mapumziko ya umma kwa…