Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametuma ujumbe wa salamu za rambirambi kutokana na kifo cha mwanazuoni mkubwa wa Kiislamu, Ayatullah Safi Golpaygani aliyeaga dunia usiku wa kuamkia leo. Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu unaeleza kuwa: Ayatullah Safi Golpaygani alikuwa mmoja kati ya nguzo za chuo kikuu cha Qum (Hauza)…