#baghdad

Rais wa Iran afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Iraq mjini Tehran

Rais wa Iran afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Iraq mjini Tehran

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mchana wa leo amemlaki rasmi Waziri Mkuu wa Iraq mjini Tehran. Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Jumapili amemlaki rasmi Waziri Mkuu wa Iraq Mustafa al Kadhimi katika ikulu ya Saad- Abad hapa Tehran. Waziri Mkuu wa Iraq leo adhuhuri amewasili Tehran akiongoza…

Sauti ya mlipuko yasikika ndani ya mji mkuu wa Iraq – Baghdad

Sauti ya mlipuko yasikika ndani ya mji mkuu wa Iraq – Baghdad

Duru za habari zimearifu kuwa sauti ya mlipuko imesikika mapema leo magharibi mwa Baghdad mji mkuu wa Iraq. Sauti ya mlipuko imesikika leo magharibi mwa mji mkuu wa Iraq na karibu na jela ya Abu Ghureib. Hadi tunaingia matangazoni hakuna taarifa yoyote iliyotufikia kuhusu maafa yaliyosababishwa na mlipuko huo. Duru za habari kutoka Iraq aidha…