Mbeya. Mtu mmoja amefariki dunia na wengine kunusurika katika ajali baada ya roli lililobeba shehena za mizigo likielekea mkoani Dar es Salaam kuferi breki na kugonga magari manne na kisha kuwaka moto katika mtelemko wa barabara kuu ya Mbeya-Iringa eneo la Pipe line Wilaya ya Mbeya Vijijini. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya ,Urlich Matei amesema…