Watanzania wanakabiliana na nyakati ngumu kutokana na bei ya mafuta kupanda nchini kote kuanzia leo Jumatano, licha ya ruzuku ya serikali. Kwa mujibu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa zimepanda hadi kiwango ambacho hakijawahi kurekodiwa katika soko la ndani. Kuanzia…