Dar es Salaam. Kukamilika kwa mradi wa maji wa Jet Buza kunamaliza kilio cha muda mrefu cha wakazi wa kata hiyo na maeneo jirani wakitarajia kuachana na utegemezi wa maji ya visima. Mhandisi Sijapata Athuman wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira(Dawasa) ambao ndio watekelezaji wa mradi huo amesema sasa wakazi wa Buza watakuwa na…