#Chamwino

Sita wafa ajali ya gari Dodoma

Sita wafa ajali ya gari Dodoma

Dodoma. Watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha gari ndogo kugonga na mkokoteni uliokuwa unavutwa na ng’ombe katika Kijiji cha Lugala Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma leo Jumapili Julai 3, 2022. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibitisha kutokea ajali hiyo huku akiahidi kutoa taarifa kamili baadaye. Kamanda amesema yuko…