#CIA

Mkuu wa zamani wa CIA: Republicans ni chama cha siasa hatari zaidi kuliko ISIS, Al Qaeda

Mkuu wa zamani wa CIA: Republicans ni chama cha siasa hatari zaidi kuliko ISIS, Al Qaeda

Mkuu wa zamani wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amsema Republicans ni chama hatari zaidi za siasa. Gazeti la New York Post limechapisha makala ya uchambuzi iliyoandikwa na Callie Patterson ambaye amemnukuu mkuu wa zamani wa CIA Michael Hayden akisema, leo Warepublican wamekuwa hatari zaidi kuliko DAESH (ISIS), Al Qaeda na wengineo; wamekuwa watu hatari…

New York Times yafichua shughuli za siri za CIA na kikosi maalumu cha Marekani Ukraine

New York Times yafichua shughuli za siri za CIA na kikosi maalumu cha Marekani Ukraine

Gazeti la New York Times linalochapishwa nchini Marekani limefichua kuhusu harakati za siri zinazofanywa na Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA) na kikosi maalumu cha wanajeshi wa nchi hiyo huko Ukraine. New York Times limefichua kuwa kanali ya siri ya majasusi wa CIA na kikosi maalumu cha wanajeshi wa Marekani na nchi waitifaki dhidi ya…