Mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa omicron bado unaendelea katika baadhi ya majimbo ya China, huku idadi ya wahasiriwa wa corona nchini ikifikia 4,638, kulingana na takwimu zilizorekodiwa. Kulingana na Shirika la Habari la Associated Press, maafisa wa afya wa kitaifa wa China mnamo siku ya Jumamosi waliripoti vifo viwili vilivyotokana na virusi vya Covid-19, ikiwa…
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, nchi sita za Afrika zimechaguliwa kuanza utengenezaji wao wa chanjo za Covid-19 kwa kutumia teknolojia ya mfumo wa mRNA. Kenya, Afrika Kusini, Nigeria, Senegal, Misri na Tunisia zimechaguliwa kuwa nchi za kwanza kupokea teknolojia ya mRNA kutoka kituo Shirika la Afya Duniani (WHO) cha kimataifa, katika bara hilo…