#Donetsk

Russia yaharibu mifumo ya makombora ya Marekani nchini Ukraine

Russia yaharibu mifumo ya makombora ya Marekani nchini Ukraine

Jeshi la Russia limetangaza habari ya kusambaratisha mifumo miwili ya makombora aina ya HIMARS ya Marekani mashariki mwa Ukraine. Wizara ya Ulinzi wa Russia imesema vikosi vya nchi hiyo jana Jumatano vilifanikiwa kuharibu mifumo hiyo miwili ya makombora ya kisasa karibu na medani ya vita katika kijiji kimoja kilichoko katika mji wa Kramatorsk, eneo la Donetsk. Igor…