#dubai

Viongozi wa Kenya Kwanza wadai Bandari Zote Nchini Zimeuziwa Dubai

Viongozi wa Kenya Kwanza wadai Bandari Zote Nchini Zimeuziwa Dubai

FARAAN: Muungano wa Kenya Kwanza unaoongozwa na Naibu wa Rais William Ruto sasa unadai Serikali inapanga kukabidhi bandari tatu za Kenya kwa kampuni ya Uarabuni. Kwenye taarifa iliyosomwa na Kinara wa Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi, viongozi wa Kenya Kwanza walisema usimamizi wa bandari za Mombasa, Lamu na Kisumu umepeanwa kwa kampuni kutoka Milki…