Baraza Kuu la Muungano wa Falme za Kiarabu limemteua Mohammed bin Zayed Aal Nahyan kuwa rais mpya wa nchi hiyo. Televisheni ya al Jazeera imeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa, uteuzi huo umekuja baada ya kufariki dunia rais wa nchi hiyo, Sheikh Khalifa bin Zayed Aal Nahyan. Khalifa bin Zayed alifariki dunia jana Ijumaa akiwa…