#Eritrea

Kusalimu amri utawala wa Kizayuni mbele ya upinzani wa wananchi wa Eritrea

Kusalimu amri utawala wa Kizayuni mbele ya upinzani wa wananchi wa Eritrea

Waziri Mkuu wa muda wa utawala haramu wa Israeli, Yair Lapid, ametoa amri ya kufungwa kwa ubalozi wa utawala huo nchini Eritrea baada ya viongozi wa nchi hiyo ya Mashariki mwa Afrika kukataa kumpokea balozi mpya wa utawala huo haramu kwa miaka miwili sasa. Katika miaka ya hivi karibuni, utawala wa Kizayuni wa Israel umeweka…