Watu wenye silaha nchini Eswatini wamemuua kwa kumpiga risasi mwanasiasa mashuhuri wa upinzani na ambaye pia alikuwa mwanasheria wa haki za binadamu. Hayo yameelezwa na msemaji wa chama chake ambaye ameziambia duru za habari, saa chache baada ya mfalme wa nchi hiyo kuwashutumu wanaharakati wanaopinga utawala wake. Thulani Maseko aliuawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake…