#fatemi_nia

Kiongozi Muadhamu ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mwanazuoni Fatemi ni’a

Kiongozi Muadhamu ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mwanazuoni Fatemi ni’a

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mwanazuoni na mhubiri katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hujjatul Islam Sayyid Abdullah Fatemi ni’a. Nakala ya ujumbe huo ni kama ifuatavyo; kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma mwenye Kurehemu Natoa pole na rambirambi zangu kwa familia ya…