#france

Umoja wa Mataifa wasikitishwa na hatua ya Mali ya kujitoa katika kikosi cha kupambana na ugaidi

Umoja wa Mataifa wasikitishwa na hatua ya Mali ya kujitoa katika kikosi cha kupambana na ugaidi

Umoja wa Mataifa umesikitishwa na uamuzi wa nchi ya Mali ya kujiondoa katika kikosi cha kundi la nchi tano za eneo la Sahel linalojulikana kama G5 ambalo lilibuniwa mwaka 2014 kwa ajili ya kupambana na ugaidi katika eneo hilo. Bi Martha Pobee, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya siasa barani Afrika…