Likirejelea kushindwa kwa mashinikizo makubwa ya Trump dhidi ya Iran, gazeti moja la Marekani liliandika kwamba Waarabu wa Ghuba ya Uajemi wanaweza kuiona Iran kama mhusika wa eneo hilo. Gazeti la Marekani la “Christian Science Monitor” limeandika kwamba, kuna mambo kadhaa yanayozingatia kubadilika kwa misimamo ya Waarabu wa Ghuba ya Uajemi katika kufungua mlango wa…