#google

Google ya Marekani kuwapiga kalamu nyekundu wafanyakazi 12,000

Google ya Marekani kuwapiga kalamu nyekundu wafanyakazi 12,000

Alphabet, ambalo ni shirika mama la kampuni ya intaneti ya Kimarekani ya Google limetangaza kuwa litawafuta kazi wafanyakazi zaidi ya 12,000. Sundar Pichai, Afisa Mkuu Mtendaji wa Alphabet amesema katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, kampuni hiyo imeshuhudia mawimbi mazito ya kimapato kutokana na mdororo wa uchumi, na kwa msingi huo wanalazimika kuwafuta kazi wafanyakazi…