#hajj

Kutoa sadaka kila kitu ulicho nacho kwa ajili ya kumpenda Mwenyezi Mungu ni dhabihu:Allama Syed Jawad Naqvi

Kutoa sadaka kila kitu ulicho nacho kwa ajili ya kumpenda Mwenyezi Mungu ni dhabihu:Allama Syed Jawad Naqvi

Eid Al Adha – 10th July 2022  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi  (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan   Hotuba ya 1: Kutoa sadaka kila kitu ulicho nacho kwa ajili ya kumpenda Mwenyezi Mungu ni dhabihu Taqwa ni kinga kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambayo…

Saudi Arabia yaondoa sharti la kuvaa barakoa ndani ya msikiti mtukufu wa makka

Saudi Arabia yaondoa sharti la kuvaa barakoa ndani ya msikiti mtukufu wa makka

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia iliondoa sharti la matumizi ya barakoa katika maeneo yenye msongamano wa wtu wengi isipokua ndani ya Masjid al-Haram na Masjid al-Nabi. Shirika rasmi la habari la Saudi Arabia ‘Wass’ limemnukuu afisa mmoja katika Wizara ya Mambo ya Ndani akisema kuwa vikwazo vingine vya kujikinga dhidi ya ugonjwa huo…