Maagizo hayo yametolewa siku ya Jumapili chini ya utawala wa Taliban ambapo shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights limesema marufuku hiyo inawafanya wanawake kujihisi kama wafungwa. Taliban imesema wanawake wa Afghanistan wanaotaka kusafiri umbali mrefu kwa barabara wanapaswa kupatiwa usafiri ikiwa tu wataandamana na ndugu zao wa kiume. . Maagizo hayo, yametolewa…