Wanamitandao kutoka nchini Yemen waliomboleza kifo cha balozi wa Iran nchini Yemen kutokana na hali yake kudhoofika baada ya kupata virusi vya Corona., wakimwita “balozi wa amani” na “balozi wa kibinadamu,” walisisitiza kuwa yeye ndiye balozi pekee aliyevunja uhusiano mbaya uliopo dhidi ya Yemen. Naye Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Bw….