#hassan_joho

Hassan Joho afifia kisiasa

Hassan Joho afifia kisiasa

USHAWISHI wa Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho, kwa siasa za Pwani na kitaifa kwa jumla umekosekana kwa takriban wiki mbili sasa baada ya kuugua kwake. Ilibainika Bw Joho alianza kuugua punde alipowasili nchini kutoka ziara ya Uingereza ambapo alikuwa ameandamana pamoja na Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, na wanasiasa wengine wa Muungano wa…