Mkuu wa oparesheni ya kuwabeba Wairani wanaoenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu amesema oparesheni hiyo inakamilika usiku wa leo. Gholareza Rostamian mkuu wa oparesheni ya Hija katika viwanja vya ndege vya Iran ametoa taarifa kuhusu mchakato mzima wa kuwabeba Mahujaji kuelekea Saudia na kusema: “Tokea tuanzishe oparesheni ya kuwabebe waumini kuekelea Hija, hadi sasa…