WAGOMBEAJI wakuu wa urais katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9, William Ruto na Raila Odinga jana walitofautiana hadharani kuhusu mfumo wa kuwatambua wapiga kura siku ya uchaguzi mkuu. Katika mkutano wa wagombea urais na wakuu wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) katika mkahawa wa Windsor jana, Dkt Ruto alikubaliana na pendekezo la tume…