#india

Serikali ya India yabomoa msikiti mwingine kwa kisingizio cha ujenzi wa barabara

Serikali ya India yabomoa msikiti mwingine kwa kisingizio cha ujenzi wa barabara

Serikali ya India imebomoa msikiti mwingine katika jimbo la Uttar Pradesh kwa kisingizio cha ujenzi wa barabara. Viongozi wa India wangali wanaendeleza sera zao za kibaguzi dhidi ya Waislamu, na mara hii sera hiyo imeonyeshwa kwenye video ya kubomolewa msikiti katika jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa nchi hiyo. Kwa mujibu wa shirika la habari la…

Katika vita vikali vya maneno, Pakistan yamwita waziri mkuu wa India ‘Chinjachinja wa Gujarat’

Katika vita vikali vya maneno, Pakistan yamwita waziri mkuu wa India ‘Chinjachinja wa Gujarat’

Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amemwita waziri mkuu wa India Narednra Modi “Chinjachinja wa Gujarat” baada ya waziri mwenzake wa India kuishutumu Pakistan kuwa “kitovu cha ugaidi” huku majirani hao wenye silaha za nyuklia wakikabiliana kwa vita vya maneno katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York. Majibizano makali kati ya…

Mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu mjini New Delhi India

Mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu mjini New Delhi India

Duru ya tatu ya mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu iliyokuwa na anuani ya “Mchango wa Dini wa Kuishi Pamoja Katika Amani na Ustawi” umefanyika mjini New Delhi kwa kuhudhuriwa na makhatibu, shakhsia wenye vipawa na Maulamaa wa Iran na India. Ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ulioshiriki katika mkutano huo…

Upinzani wa wananchi wa India dhidi ya safari ya Bin Salman nchini humo

Upinzani wa wananchi wa India dhidi ya safari ya Bin Salman nchini humo

Miji ya New Delhi na Mumbai Jumapili ilishuhudia maandamano makubwa ya wananchi wanaopinga na kulalamikia safari ya Mohammed bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia huko India mwishoni mwa mwezi huu wa Novemba. Waandamanaji walikuwa wamebeba vibonzo vya Bin Salman wakilaani mashambulizi ya jeshi la Saudia huko Yemen na ukandamizaji unaofanywa na utawala…

Pakistan: Kauli ya waziri wa ulinzi wa India kuhusu Kashmir ni ya kichochezi

Pakistan: Kauli ya waziri wa ulinzi wa India kuhusu Kashmir ni ya kichochezi

Wizara ya mambo ya nje ya Pakistan imesema kauli aliyotoa waziri wa ulinzi wa India, kwamba eneo la Kashmir ni milki ya nchi hiyo ni ya kichochezi. Kwa mujibu wa chaneli ya televisheni ya NDTV ya India, waziri wa ulinzi wa India Rajnath Singh, ambaye jana Jumatatu alitembelea eneo la Jamu na Kashmir alidai kwamba, Kashmir iliyo…

Mahakama ya Juu ya India yamtaka msemaji wa zamani wa chama tawala kuomba radhi kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw)

Mahakama ya Juu ya India yamtaka msemaji wa zamani wa chama tawala kuomba radhi kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw)

Mahakama ya Juu ya India imemtaka msemaji wa zamani wa chama tawala nchini India cha Bharatiya Janata kinachoongozwa na Waziri Mkuu, Narendra Modi, Nupur Sharma, kujitokeza kwenye televisheni na kuomba radhi kwa taifa zima la India, baada ya matamshi yake ya kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw) ambayo yameisababisha maandamano makubwa na kuchochea hali ya mvutano…

OIC yalaani ukandamizaji wa Waislamu nchini India

OIC yalaani ukandamizaji wa Waislamu nchini India

Taasisi ya haki za binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vitendo vya kibaguzi dhidi ya Waislamu nchini India. Taasisi hiyo imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuiwajibisha India kwa ukiukaji wa haki za binadamu za walio wachache na kukomesha uhasama wao. Tume Huru ya Kudumu ya Haki za Kibinadamu (IPHRC), mojawapo ya…

Al Azhar yaonya kuhusu madhara ya kushambuliwa nyumba za Waislamu nchini India

Al Azhar yaonya kuhusu madhara ya kushambuliwa nyumba za Waislamu nchini India

Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri kimelaani jinai za Wahindu za kushambulia nyumba za Waislamu nchini India na kuonya kuhusu madhara ya jinai hizo. Shirika la habari la Sputnik limeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa, Chuo Kikuu cha al Azhar kimesema katika taarifa yake kuwa, kinalaani kwa nguvu zote jinai zinazofanywa…

  • 1
  • 2