Kenya imezindua waya wa sita wa kusambaza intaneti upitiao baharini, hali ambayo imeletea wananchi matumaini kuwa huenda gharama ya kununua data ya simu ikapungua huku kasi ya intaneti ikiongezeka siku za hivi karibuni. Kuzinduliwa kwa waya unaouanganisha Pakistan, ukanda wa Afrika Mashariki na bara Uropa (Peace) Jumanne, kunajiri wakati ambao uchumi wa intaneti nchini unakua…