
Kamanda wa Majeshi ya Iran aonya jeshi la kigaidi la Marekani na Israel
Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Meja Jenerali Mohammad Baqeri ametoa onyo kali na kusema ushirikiano wa jeshi la kigaidi la Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na waitifaki wao waliowapa vituo vya kijeshi ni tishio kwa usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Katika ujumbe, Meja Jenerali…

Mkuu wa zamani wa jeshi la Kizayuni: Israel haiwezi kuishambulia kijeshi Iran
Mkuu wa zamani wa majeshi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Shaul Mofaz amesema, Wairani ni watu werevu sana na wanao uwezo wa kuhakikisha wanapata haki zao za kinyukilia; na akakiri kwa kusema, Tel Aviv haina uwezo wa kuchukua hatua ya kijeshi dhidi ya Tehran. Mofaz ameyasema hayo katika mahojiano na Kanali 12 ya…

Nigeria yaomba kuwa na ushirikiano wa kijeshi na Iran
Mwanadiplomasia mstaafu na mzoefu wa Nigeria Babaji Umar Misau amesema, ana matumaini kuwa nchi yake itaendelea kuwa na ushirikiano mzuri na wenye manufaa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambayo rafiki yake wa zamani kama ilivyokuwa kwa miongo mingi. Misau ambaye ni balozi wa zamani wa Nigeria katika nchi za Burkina Faso, Kenya na Somalia, amezungumzia umuhimu…

Kiongozi Muadhamu: Jamhuri ya Kiislamu ilirejesha nyuma majoka yenye vichwa saba ya Uistikbari
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ikipata ilhamu ya Ahlu-Beiti (as) iliyashinda na kuyarejesha nyuma majoka yenye vichwa saba ya Uistikbari na ikasonga mbele kimaendeleo. Ayatullah Sayyiid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hayo leo alipoonana na wajumbe wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Beiti (as)…

Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani
Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa, Marekani na nchi za Magharibi zinataka kutekeleza siasa zao za kibeberu katika maeneo yote hassasi na ya kiistratijia duniani na kwamba matukio ya Ukraine ni matunda ya mtazamo huo wa kiistikbari wa Magharibi. Shirika la habari la FARS limemnukuu Brigedia Jenerali Mohammad-Reza Gharaei Ashtiani akisema hayo jana wakati alipoonana na…

IRGC ya Iran yaeleza ilivyotwaa na kuachia huru droni ya Marekani
Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetoa maelezo ya kina kuhusu namna lilivyoteka na kisha kuachia huru ndege isiyo na rubani ya baharini ya Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi. IRGC imefafanua kuwa, imetoa maelezo hayo ili kujibu madai ya kuchekesha ya Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la…

Meja Jenerali Salami: Majeshi ya Iran yako tayari kujibu vitisho vya maadui
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema mafanikio ya sekta ya ulinzi ya Iran ni ya ajabu, yenye kuonyesha nguvu na yenye uwezo wa kumzuia adui huku akisisitiza kuwa: “Vikosi vya kijeshi vya Iran viko tayari kujibu vitisho vya adui.” Meja Jenerali Hossein Salami, Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi…

Amir-Abdollahian: Iran inafuatilia kuhakikisha kunafikiwa makubaliano ya kudumu katika mazungumzo ya Vienna
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mazungumzo ya Vienna ya kuondolewa vikwazo taifa hili na kusema kuwa, Tehran inafuatilia kwa nguvu zote kuhakikisha kunafikiwa makubaliano ya kudumu. Hussein Amir-Abdollahian, amesema hayo katiika mkutano wake na waandishi wa habari mjini Moscow akiwa pamoja na mwenyeji wake, Sergey Lavrov, Waziri wa…