#iran

Faili la sauti lililovuja la mwandishi wa BBC: Lengo la machafuko ni kuigawa Iran

Faili la sauti lililovuja la mwandishi wa BBC: Lengo la machafuko ni kuigawa Iran

Faili la sauti lililovuja la mwandishi wa shirika la utangazaji la Uingereza BBC limefichua wazi jinsi Magharibi na vyombo vyao vya habari zinavyotekeleza njama ya kuigawa Iran. Maandamano yaliyoibuka hivi karibuni nchini Iran kwa kisingizio cha kifo cha “Mahsa Amini” kwa mara nyingine tena yamewafanya maadui wa kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutumia…

Iran yazindua makombora mapya ya Bavar 373 na Sayyad B4

Iran yazindua makombora mapya ya Bavar 373 na Sayyad B4

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua mfumo mpya wa makombora ya kujihami ya masafa marefu ya Bavar (Kujiamini) 373 na pia imefanyia majaribio kombora jipya la Sayyyad B4 leo Jumapili. Mfumo wa Bavar-373 wa makombora ya kijihami yenye uwezo wa kuruka umbali wa kilomita 300 umezinduliwa sambamba na kuanza uundwaji kwa wingi makombora ya Sayyad…

Raisi: Hakuna jambo linaloweza kifanyika Asia Magharibi bila ya mwafaka wa Iran

Raisi: Hakuna jambo linaloweza kifanyika Asia Magharibi bila ya mwafaka wa Iran

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini taifa kubwa la Iran liliweka mapambano dhidi ya dhulma na ukoloni katika ajenda yake na kuongeza kuwa: “Hakuna mlingano unaoweza kufikiwa katika kanda ya Magharibi mwa Asia bila ya kupasishwa na Iran.” Rais Ebrahim Raisi ameyasema hayo leo katika…

Azimio la mwisho la maandamano ya Siku ya Taifa ya Kupambana Ubeberu

Azimio la mwisho la maandamano ya Siku ya Taifa ya Kupambana Ubeberu

Washiriki katika maandamano ya Siku ya Taifa ya Kupambana na Ubeberu inayosadifiana na leo 4 Novemba, wamesisitiza udharura kuwepo mapambano endelevu dhidi ya njama za kuzusha fitna, ghasia na fujo. Washiriki katika maandamano ya leo ya kupinga ubeberu wa kimataifa ambao walikuwa wakipiga nara za “Mauti kwa Marekani” kuonyesha kuchukizwa kwao na siasa za kiuadui…

Matamshi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu; Marekani imehusika katika machafuko nchini Iran

Matamshi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu; Marekani imehusika katika machafuko nchini Iran

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jana Jumatano siku mbili kabla ya maadhimisho ya tarehe 13 Aban (4 Novemba 1978) ambayo hapa nchini ni Siku ya Taifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa, alihutubia kikao cha mamia ya wanafunzi, akiitaja siku hiyo kuwa ni kielelezo cha uovu, ukhabithi na dhihirisho la kupata pigo na kushindwa…

Watu 6 katika timu ya magaidi watenda jinai katika Haramu takatifu ya Shah Cheragh watiwa nguvuni

Watu 6 katika timu ya magaidi watenda jinai katika Haramu takatifu ya Shah Cheragh watiwa nguvuni

Wizara ya Intelijinsia ya Iran imetangaza kuwa, imewatambua na kuwatia nguvuni watu sita katika timu ya usaidizi ya magaidi watenda jinai dhidi ya Haram takatifu ya Ahmad bin Musa (as) huko katika mji wa Shiraz. Watu 15 wakiwemo watoto wawili waliuliwa shahidi na wengine 30 kujeruhiwa baada ya gaidi mmoja kuwashambulia kwa risasi Jumatano iliyopita…

Ukosoaji mkali wa Putin kwa mauaji ya kigaidi ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani

Ukosoaji mkali wa Putin kwa mauaji ya kigaidi ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani

Akizungumza juzi Alhamisi katika Kongamano la Valdai, Rais Vladmir Putin wa Russia amekosoa mfumo na siasa za Magharibi na kueleza kuwa nchi za Magharibi zilimuua Luteni Jenerali Soleimani; katika hali ambayo shakhsia huyo alikuwa kiongozi rasmi nchini mwake na kuongeza kwamba Wamagharibi si tu hawajakana jambo hilo bali wanajifakharisha nalo. Putin amesema: “Wao ndio walimuua…

Mashirika ya kijasusi ya kigeni yakiongozwa na CIA yamehusika na ghasia Iran

Mashirika ya kijasusi ya kigeni yakiongozwa na CIA yamehusika na ghasia Iran

Taarifa ya pamoja ya Wizara ya Intelijensia ya Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imesema mashirika ajinabi ya kijasusi yakiongozwa na Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) yamekuwa na mchango mkubwa katika kupanga na kuratibu ghasia na fujo zilizoshuhudiwa hapa nchini kwa wiki kadhaa. Taarifa hiyo imesema CIA ya Marekani ilikuwa…