#israel

HAMAS: Muqawama una uungaji mkono mkubwa wa Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi

HAMAS: Muqawama una uungaji mkono mkubwa wa Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi

Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiisalamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, muqawama uko chini ya mwavuli wa uungaji mkono wa kivitendo wa Wapalestina na jambo hilo ndilo linalozidi kutia nguvu harakati za muqawama katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Kituo cha upashaji habari cha Palestina kimeripoti habari hiyo na kunukuu matamshi…

Ghalibaf: Muqawama wa Palestina umetoa bishara ya kuangamia utawala wa Kizayuni

Ghalibaf: Muqawama wa Palestina umetoa bishara ya kuangamia utawala wa Kizayuni

Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, muqawama na mapambano ya harakati ya Jihad al Islami ya Palestina mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel yametoa bishara njema ya kuangamia utawala huo pandikizi. Shirika la habari la IRNA limemnkuu Mohammad Bagher Ghalibaf akisema hayo leo katika kikao cha wazi cha Bunge…

Wanamichezo Wairaq wakataa kupambana na timu ya Israel katika mashindano ya Romania

Wanamichezo Wairaq wakataa kupambana na timu ya Israel katika mashindano ya Romania

Wanamichezo wawili Wairaqi wa mchezo wa tenisi wamekataa kupambana na wanamichezo kutoka utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika michuano ya Paralampiki inayofanyika nchini Romania. Wanamichezo wengi wanaounga mkono Palestina katika nchi za Kiislamu na Kiarabu hawautambui utawala wa Kizayuni na hawako tayari kupambana na wapinzani wao wanaowakilisha Israel katika mashindano mbalimbali ya michezo. Tovuti…

HAMAS yapongeza misimamo ya waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya Israel

HAMAS yapongeza misimamo ya waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya Israel

Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amepongeza msimamo thabiti ulioonyeshwa na waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel. Waziri wa ulinzi wa Pakistan Khawaja Muhammad Asef ameieleza serikali ya Uingereza na waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo kuwa Azimio la Balfour la mwaka…

Israel imewaua shahidi watoto Wapalestina zaidi ya 1,000 tangu 2008

Israel imewaua shahidi watoto Wapalestina zaidi ya 1,000 tangu 2008

Tangu mwaka 2008, zaidi ya watoto elfu moja wa Kipalestina wameuawa shahidi katika Ukanda wa Gaza katika mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel Kwa mujibu wa kanali ya televisheni ya Al-Mayadeen siku ya Alkhamisi, mashahidi 15 kati ya 43 wa mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza…

Oman haitafuata nyayo za Saudia za kuruhusu ndege za Israel zitumie anga yake

Oman haitafuata nyayo za Saudia za kuruhusu ndege za Israel zitumie anga yake

Oman imeripotiwa kukataa kuruhusu ndege za utawala wa haramu wa Israel kuruka katika anga yake, ikionekana kujiepusha kufuata nyayo za Saudi Arabia za kujikurubisha wazi wazi na utawala huo haramu. Televisheni ya RT iliripoti Jumatano kwamba Oman bado haijatoa ridhaa yake ya kufungua anga zake kwa mashirika ya ndege ya Israel. Safari za ndege kupitia…

Wananchi wa Morocco wateketeza moto bendera za Israel katika maandamano

Wananchi wa Morocco wateketeza moto bendera za Israel katika maandamano

Wananchi wa Morocco waliokuwa na hasira wameteketeza moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel mbele ya bunge la nchi hiyo katika maandamano ya kulaani hujuma ya utawala huo dhidi ya Gaza. Aidha wameteketeza moto bendera hizo za utawala wa Kizayuni kama njia ya kulaani hatua ya utawala wa Morocco kuanzisha uhusiano wa kawaida na…

HRW: Maadamu Israel haiadhibiwi, mashambulio dhidi ya Gaza yataendelea

HRW: Maadamu Israel haiadhibiwi, mashambulio dhidi ya Gaza yataendelea

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema, kutoadhibiwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndiko kunakoufanya utawala huo uendeleze hatua unazochukua. Katika taarifa kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, Human Rights Watch imesema, Wapalestina zaidi ya 40, wakiwemo watoto 15 wameuawa katika vita vya siku tatu za karibuni kati ya utawala…