
Kuwait: Tutaendelea kuisusia Israeli na makampuni yanayoshirikiana nayo
Kuwait imetangaza kuwa itaendelea kuisusia Israel, bidhaa zake na makampuni yanayoshirikiana nayo. Hayo yametangazwa katika Mkutano wa Maafisa wa Ofisi za Kikanda za Kuisusia Israel. Shirika la Habari la Kuwait (KUNA) lilimnukuu mwakilishi wa Kuwait katika mkutano huo, Mashari Al-Jarallah, akisema, “Bidhaa zote ambazo zinashukiwa kuwa za Israeli au za kampuni zilizopigwa marufuku, zinachukuliwa hatua…

Iran: Wazayuni hawaelewi lugha yoyote isipokuwa mabavu na vita
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utawala wa Kizayuni hauelewi lugha nyingine yoyote isipokuwa mabavu na vita. Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA, Hossein Amir-Abdollahian amesema hayo leo Jumanne katika sherehe za kuenzi haki za binadamu na heshima ya mwanadamu hapa mjini Tehran na kuongeza kuwa,…

Sheikh Naim Qassem: Israel haina budi kutambua rasmi haki za maliasili za Lebanon
Naibu Katibu MKuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel hauna budi kuzitambua rasmi haki za Lebanon zinazohusiana na utajiri wa maliasili za baharini. Sheikh Naim Qassem ameyasema hayo katika majlisi kuu ya Ashura na kusisitiza kuwa, Wamarekani inawapasa waache kushirikiana na Wazayuni katika kutafuta na kuchimba gesi katika eneo la…

Tawi la kijeshi la HAMAS lawaonyesha askari wawili wa Israel linaowashikilia mateka
Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS zimetoa taswira, sambamba na kuwahutubu Wazayuni kwamba: viongozi wa utawala wa Kizayuni wanakuambieni uongo kuhusu mateka. Julai 2014, Brigedi za Izzuddinl-Qassam zilitangaza kuwa zimemkamata mateka Shaul Aron askari wa Kizayuni katika vita vya siku 51; na utawala wa Kizayuni ukatangaza…

Iran: Mpango wa kijeshi wa nyuklia wa Israel ni tishio kwa usalama wa dunia
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema ustawi wa mpango wa kijeshi wa nyuklia wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kuendelea kukataa utawala huo vituo vyake vya nyuklia vikaguliwe na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ni tishio kubwa kwa usalama wa kimataifa. Nasser Kan’ani Chafi, Msemaji wa Wizara…

Waziri: Iran imetekeleza oparesheni kadhaa zilizofanikiwa dhidi ya Israel
Wizara ya Intelijensia ya Iran imetekeleza oparesheni kadhaa zilizofanikiwa dhidi ya utawala wa Israel katika miezi ya hivi karibuni sambamba na kuzima idadi kubwa ya njama za utawala huo wa Tel Aviv na waitifaki wake magaidi dhidi ya Iran. Waziri wa Intelijensia Esmail Khatib ameyasema hayo Jumatano mjini Tehran katika mkutano na Spika wa Majlisi…

MwananchiMaoni Na Uchambuzi Tanzania katikati ya mgogoro wa Mashariki ya Kati
Palestina ni Taifa ambalo limekuwepo kwa muda mrefu lakini haitambuliki kama nchi popote duniani. Jumuiya za kimataifa hazilitambui Taifa hilo ambalo limemezwa na nchi ya Israel na halipo kabisa katika ramani ya uso wa dunia. Ni Taifa ambalo halina serikali yake. Sehemu kubwa ya ardhi yake imetwaliwa na Waisraeli. Umoja wa Mataifa (UN) haulitambui Taifa…

Nasrullah: Maeneo yote ya Israel yapo katika shabaha ya makombora ya Hizbullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema makombora yenye usahihi mkubwa katika kulenga shabaha ya harakati hiyo ya muqawama yana uwezo wa kupiga sehemu yoyote ya utawala haramu wa Israel; baharini au ardhini. Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah amesema hayo katika mahojiano na televisheni ya al-Mayadeen yaliyorushwa jana usiku kwa mnasaba…