#israel

Waislamu wa Tanzania waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds na kulaani jina za Israel

Waislamu wa Tanzania waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds na kulaani jina za Israel

Upendo na  na hisia ya Waislamu wa Tanzania kwa Palestina huonekana katika mambo kadhaa moja wapo ni hili hapa. Waislamu nchini Tanzania na wapenda amani katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki leo wameungana na wapigania haki duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani ikiwa ni…

Baada ya kutimuliwa Russia, shirika la uhajiri wa Mayahudi kuhamishiwa Israel

Baada ya kutimuliwa Russia, shirika la uhajiri wa Mayahudi kuhamishiwa Israel

Sambamba na kushadidi mivutano katika uhusiano wa Russia na Israel, duru za habari zimeripoti kuwa shirika la uhajiri wa Mayahudi limeandaa mpango wa siri wa kuhamishia Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) ofisi yake iliyokuweko mjini Moscow. Gazeti la Jerusalem Post limezinukuu duru za kuaminika zikiripoti kuwa kufuatia uamuzi wa Russia wa kuifunga ofisi ya shirika la…

UN yapitisha azimio dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel

UN yapitisha azimio dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel

Umoja wa Mataifa umepitisha azimio linalosisitiza kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel hauna haki ya kupora rasilimali za watu wa Palestina na za miinuko ya Golan ya Syria unayoikalia kwa mabavu. Baraza la Kiuchumi na Kijamii la Umoja wa Mataifa (ECOSOC) limepitisha rasimu ya azimio iliyowasilishwa kwa ushirikiano wa Pakistan,- kwa niaba ya kundi…

Wapalestina 21 wauawa, kujeruhiwa na askari wa Israel Ukingo wa Magharibi

Wapalestina 21 wauawa, kujeruhiwa na askari wa Israel Ukingo wa Magharibi

Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine 19 katika miji ya Nablus na Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu. Kwa mujibu wa shirika la habari la Ma’an la Palestina, Wapalestina hao wameuawa na kujeruhiwa mapema leo baada ya wanajeshi makatili wa…

Nasrallah: Hizbullah ilikataa hongo ya Marekani kusitisha makabiliano na Israel

Nasrallah: Hizbullah ilikataa hongo ya Marekani kusitisha makabiliano na Israel

Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon anasema harakati hiyo ilikataa mapendekezo kadhaa ya hongo ya kifedha ya Marekani ili kusitisha mapambano yake na utawala wa Kizayuni wa Israel . Katika mahojiano ya aina yake yaliyorekodiwa miaka 20 iliyopita na kurushwa hewani wiki hii, Katibu Mkuu wa Hezbollah Sayyed Nasrallah anasema harakati hiyo ya mapambano…

Mfalme wa Bahrain amuuzulu waziri wake kwa kukataa kumpa mkono balozi wa Israel

Mfalme wa Bahrain amuuzulu waziri wake kwa kukataa kumpa mkono balozi wa Israel

Mfalme wa Bahrain amemuuzulu waziri mwanamke wa nchi hiyo kwa kukataa kumpa mkono balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa mjini Manama na kwa kupinga hatua ya kuanzisha ya uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu. Tovuti ya habari ya Shahab News imeripoti kuwa, hivi karibuni ilifanyika hafla katika makazi ya balozi wa Marekani…

Iran yavunja mtandao wa majasusi wa Mossad ya Israel

Iran yavunja mtandao wa majasusi wa Mossad ya Israel

Wizara ya Intelijensia ya Iran imetangaza habari ya kutiwa mbaroni majasusi kadhaa waliokuwa wakitumikia shirika la ujasusi la Israel (Mossad). Taarifa ya wizara hiyo imeeleza kuwa, vyombo vya usalama vya Jamhuri ya Kiislamu vimewatia nguvuni majasusi hao waliojipenyeza nchini kupitia eneo la Kurdistan, magharibi mwa Iran. Kwa mujibu wa Wizara ya Intelijensia ya Iran, maajenti hao…

Jeshi la Syria latungua makombora ya Israel viungani mwa Damascus

Jeshi la Syria latungua makombora ya Israel viungani mwa Damascus

Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Syria kimetangaza kutungua makombora yaliyokuwa yamevurumishwa na utawala haramu wa Israel nje ya mji mkuu Damascus. Shirika rasmi la habari la Syria, SANA limetangaza kuwa, mizinga ya ulinzi wa anga ya Syria alfajiri ya leo Ijumaa imetungua akthari ya makombora hayo ya Israel viungani mwa Damascus. Jeshi katili…