#israel

Kivuli cha ufashisti kwenye bunge na baraza jipya la mawaziri la utawala wa Israel

Kivuli cha ufashisti kwenye bunge na baraza jipya la mawaziri la utawala wa Israel

Siku ya Jumanne Novemba 15, kilifanyika kikao cha kwanza cha Bunge la Kizayuni (Knesset) ambapo wawakilishi 120 wa bunge hilo walikula kiapo mbele ya Isaac Herzog, rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel. Kati ya wabunge 120 wa Knesset, wanachama 23 pekee ndio wapya na waliosalia ni wabunge wa zamani ambao walibaki kwenye nafasi zao katika…

Utawala wa Kizayuni; kizuizi kikuu cha uwepo wa Asia Magharibi pasina silaha za maangamizi ya umati

Utawala wa Kizayuni; kizuizi kikuu cha uwepo wa Asia Magharibi pasina silaha za maangamizi ya umati

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaja utawala wa Kizayuni kuwa kizuizi kikuu cha uwepo wa Asia Magharibi isiyokuwa na silaha za maangamizi ya umati. Utawala wa Kizayuni ambao unamiliki silaha za nyuklia ambapo kwa mujibu wa ripoti nyingi za kuaminika hivi sasa unamiliki vichwa vya nyuklia kati ya 200 hadi…

Wazayuni waingiwa na hofu baada ya Netanyahu kupewa jukumu la kuunda serikali mpya Israel

Wazayuni waingiwa na hofu baada ya Netanyahu kupewa jukumu la kuunda serikali mpya Israel

Sambamba na Benjamin Netanyahu kupewa jukumu la kuunda baraza la mawaziri la serikali mpya ya Israel, mmoja wa majenerali wa Israel ameutaja uteuzi wake kuwa ni maafa makubwa. Jenerali Amos Gilad wa Israel na mkuu wa zamani wa Idara ya Usalama na Siasa ya Wizara ya Vita ya utawala huo ameutaja uteuzi wa mawaziri wa serikali ijayo…

Mrithi wa Ufalme Bahrain apewa mwaliko na Netanyahu

Mrithi wa Ufalme Bahrain apewa mwaliko na Netanyahu

Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa zamani wa Israel anayetazamiwa kuunda serikali mpya ya utawala wa Kizayuni amemualika Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Bahrain, Salman bin Hamad Aal Khalifah kuitembelea ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina la Israel. Gazeti la The Times of Israel limeripoti kuwa, Netanyahu jana Jumapili alizungumza kwa njia…

Kuwait: Israel inapaswa kuweka vituo vyake vya nyuklia chini ya usimamizi wa IAEA

Kuwait: Israel inapaswa kuweka vituo vyake vya nyuklia chini ya usimamizi wa IAEA

Kwa mara nyingine tena Kuwait imeutaka utawala haramu wa Israel ujiunge na Mkataba wa Kuzuia Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) na kuweka vituo vyake vyote vya nyuklia chini ya mfumo wa usimamizi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA). Katika taarifa iliyowasilishwa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, serikali ya Kuwait imeeleza dhamira…

Qatar yasisitiza tena kupinga kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

Qatar yasisitiza tena kupinga kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

Serikali ya Qatar kwa mara nyingine tena imesisitiza msimamo wake wa kupinga kuanzisha uhusiano wa kawaida wa aina yoyote ile na utawala wa Kizayuni wa Israel unaofanya mauaji kila leo huko Palestina. Duru za habari za Kizayuni zimetangaza kuwa, serikali ya Qatar haitaki kabisa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israela na kwamba, Dohha inaendelea kusisitiza…

Ripoti: Tel Aviv inatumia “mbinu za kimafia” dhidi ya makundi ya haki za binadamu ya Palestina

Ripoti: Tel Aviv inatumia “mbinu za kimafia” dhidi ya makundi ya haki za binadamu ya Palestina

Shirika la kutetea haki za binadamu la Palestina limesema katika ripoti yake kwa kamati ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kwamba Israel inatumia vitisho na mbinu za kimafia kuyanyamazisha mashirika ya kutetea haki za binadamu. Kundi la wanaharakati wa haki za binadamu wa Palestina limeiambia kamati ya Umoja wa Mataifa kwamba katika fremu ya unyanyasaji…

Vyombo vya habari vya Israel: Miaka 25 ijayo, utawala wa Kizayuni utakuwa umeshatoweka

Vyombo vya habari vya Israel: Miaka 25 ijayo, utawala wa Kizayuni utakuwa umeshatoweka

Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa Israel yanaonyesha kuwa theluthi moja ya walowezi wa Kizayuni hawataki kuajiriwa jeshini na wanaamini kuwa nchi iitwayo Israel haitakuwepo tena baada ya miaka 25. Kwa mujibu wa televisheni ya Al-Mayadeen, baadhi ya vyombo vya habari vya Israel vimefichua kuwa thuluthi moja ya vijana wa Israel hawaamini kama Israel itakuwepo…