#israel

Netanyahu: Kama si msaada wa Saudia tusingeweza kupatana na Waarabu

Netanyahu: Kama si msaada wa Saudia tusingeweza kupatana na Waarabu

Waziri Mkuu wa zamani wa utawala haramu wa Israel amesema kuwa, kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu kumefanikiwa kwa mwafaka na baraka za Saudi Arabia. Benjamin Netanyahu amesema: “Jambo la kwanza ninalopaswa kukiri ni kwamba Saudi Arabia ilianza kutekeleza mpango wa kuanzishwa uhusiano baina ya Israel na nchi za…

Yemen yalaani ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Israel

Yemen yalaani ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Israel

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Yemen amelaani ugaidi wa kiserikali unavyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa lisilo na ulinzi la Palestina. Mji wa Nablus unaendelea kuzingirwa na jeshi la utawala haramu wa Israel kwa siku ya 15 mfululizo, na zaidi ya hayo, idadi kubwa ya raia wamekamatwa katika maeneo tofauti ya Ukingo…

Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa aonya kuhusiana na njama za Israel za kuiyahudisha Quds

Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa aonya kuhusiana na njama za Israel za kuiyahudisha Quds

Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ameonya kuhusiana na njama za jeshi vamizi la Israel la kuuyahudisha mji wa Quds na kuudhibiti mji huo. Samahat Sheikh Ekrima Sabri Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa ametahadharisha piia kuhusiana na njama za kila leo za utawala vamizi wa Israel kuugawa msikiti wa al-Aqswa kiwakati na…

Mbunge wa Bunge la Ulaya: Marekani na Israel zinaunga mkono ugaidi

Mbunge wa Bunge la Ulaya: Marekani na Israel zinaunga mkono ugaidi

Mick Wallace, Mwakilishi wa Ireland katika Bunge la Ulaya amekosoa vikali sera za Marekani na utawala ghasibu wa Israel na kuzitaja kuwa waungaji mkono wa ugaidi. Mbunge huyo wa Bunge la Ulaya amelaani mauaji ya kizazi ya Saudi Arabia na Imarati huko nchini Yemen na kutangaza kuwa, Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zinaunga…

MOSSAD imeua maafisa wake sita wa intelijensia kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran

MOSSAD imeua maafisa wake sita wa intelijensia kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran

Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umewaua maafisa wake sita muhimu kufuatia kufeli operesheni ya shirika lake la ujasusi Mossad ya kufanya hujuma na uharibifu kwenye kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan nchini Iran. Maajenti wa shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni Mossad walipanga kuripua kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan, lakini walikamatwa na wizara ya…

Utawala wa Kizayuni wakasirishwa na Australia kubadilisha msimamo wake kuhusu Baitul Muqaddas

Utawala wa Kizayuni wakasirishwa na Australia kubadilisha msimamo wake kuhusu Baitul Muqaddas

Viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamesema wamekasirishwa na hatua ya serikali mpya ya Australia ya kufuta uamuzi wa serikali iliyopita wa kuitambua Baitul Muqaddas (Jerusalem) kuwa mji mkuu wa utawala huo ghasibu. Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia Penny Wong alitangaza Jumanne kwamba serikali ya Australia itafuta uamuzi wa baraza la…

Utawala wa Kizayuni wa Israel watiwa kiwewe na droni za Iran

Utawala wa Kizayuni wa Israel watiwa kiwewe na droni za Iran

Chombo kimoja cha habari cha utawala wa Kizayuni kimeelezea kuingiwa na hfu kubwa kutokana na kuimarika teknolojia ya ndege zisizo na rubani (droni) za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika miaka ya hivi karibuni na kugeuka teknolojia hiyo kuwa sehemu muhimu katika mkakati wa kujihami taifa hili la Kiislamu. Gazeti la Jerusalem Post limeandika hayo…

Askofu wa Othodoksi Palestina: Kupita kwa muda hakutafanya jinai za maghasibu wa Baitul Muqaddas zisahaulike

Askofu wa Othodoksi Palestina: Kupita kwa muda hakutafanya jinai za maghasibu wa Baitul Muqaddas zisahaulike

Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoksi mjini Baitul Muqaddas (Jerusalem) amesema: Palestina haitafunga mikono na kusimama kizembe katika kukabiliana na upendeleaji unaofanywa na Magharibi kwa utawala ghasibu wa Kizayuni pamoja na sera na jinai zake. Marekani ndiyo muungaji mkono mkubwa zaidi wa jinai za utawala wa Kizayuni katika eneo la Magharibi mwa Asia, jambo ambalo…