#israel

Israel yamfuta kazi balozi wake anayetuhumiwa kuwabaka wanawake nchini Morocco

Israel yamfuta kazi balozi wake anayetuhumiwa kuwabaka wanawake nchini Morocco

Utawala haramu wa Israel umelazimika kumfuta kazi balozi wake wa nchini Morocco anayekabiliwa na kashfa za ngono na kuwanyanyasa kijinsia wanawake wa nchi hiyo ya Kiarabu. Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya utawala ghasibu wa Israel imetangaza kuwa, imemsimamisha kazi David Govrin balozi wake mjini Rabat na nafasi yake imechukuliwa na mwanamama Alona Fischer. David…

HAMAS yataka makubaliano ya Oslo baina ya PLO na Israel yafutwe

HAMAS yataka makubaliano ya Oslo baina ya PLO na Israel yafutwe

Sambamba na kutimia mwaka wa 29 tangu yaliposainiwa Makubaliano ya Oslo, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaka Mamlaka ya Ndani ya Palestina itangaze kufutwa makubaliano hayo ya nakama. Makubaliano ya Oslo yalitiwa saini tarehe 13 Septemba 1993 kati ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO);…

Israel yafanya maneva ya kijeshi katika Ghuba ya Haifa kwa kuhofia maonyo ya Hizbullah

Israel yafanya maneva ya kijeshi katika Ghuba ya Haifa kwa kuhofia maonyo ya Hizbullah

Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza kuwa unafanya maneva ya kijeshi kuanzia Ghuba ya Haifa hadi katika mpaka wa baina ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Lebanon kwa kuhofia indahri za karibuni za harakati ya Hizbullah ya Lebanon. Msemaji wa jeshi la Israel ameeleza kuwa, mazoezi hayo ya kijeshi yameanza mapema leo katika mpaka wa…

Qatar yakataa ombi la kuanzishwa ubalozi wa Israel mjini Doha kwa ajili ya Kombe la Dunia

Qatar yakataa ombi la kuanzishwa ubalozi wa Israel mjini Doha kwa ajili ya Kombe la Dunia

Serikali ya Qatar imetangaza kukataa ombi la utawala haramu wa Israel la kuanzishwa ubalozi mdogo wa muda wa Israel mjini Doha katika kipindi cha kufanyika fainali za soka za Kombe la Dunia. Vyombo vya habari vya utawala ghasibu wa Israel hivi karibuni viliripoti kuwa, kumekuweko mazungumzo baina ya viongozi wa utawala huo na wenzao wa…

Mateka 73 wa Kipalestina wafa shahidi katika jela za utawala wa Kizayuni kwa kukosa matibabu

Mateka 73 wa Kipalestina wafa shahidi katika jela za utawala wa Kizayuni kwa kukosa matibabu

Taasisi ya kutetea haki za binadamu ya Palestina imetangaza kuwa, tangu mwaka 1967 hadi sasa Wapalestina 73 wameaga dunia kutokana na upuuzaji unaofanywa na Israel wa kutowapatia matibabu stahiki mateka wa Kipalestina katika jela za utawala huopandikizi unaozikalia kwa mabavu ardhi za Palestina. Klabu ya wafungwa ya Palestina jana Jumapili imeripoti kuwa, raia hao 73…

Jeshi la Israel lakiri kuwa katika wakati mgumu wa kukabiliana na operesheni za wanamapambano wa Kiislamu

Jeshi la Israel lakiri kuwa katika wakati mgumu wa kukabiliana na operesheni za wanamapambano wa Kiislamu

Baadhi ya duru za Kizayuni zimeripoti kuwa, licha ya jeshi la Israel kuvamia kila siku na mara kwa mara maeneo ya Wapalestina na licha ya kufanya ukatili mkubwa dhidi ya Wapalestina lakini limeshindwa kuzuia operesheni za wanamuqawama na wanamapambano wa Kiislamu. Shirika la habari la Kizayuni la “Walla” limewanukuu baadhi ya maafisa wa kijeshi wa…

Wananchi wa Morocco waandamana kulaani Israel baada ya balozi wake kukabiliwa na kashfa ya ngono

Wananchi wa Morocco waandamana kulaani Israel baada ya balozi wake kukabiliwa na kashfa ya ngono

Mamia ya wananchi wa Morocco wameandamana kulaani utovu wa kimaadili wa balozi wa utawala haramu wa Israel mjini Rabat ambaye anakabiliwa na kashfa ya ngono. Waandamanaji wenye hasira wakiwa wamebeba mabango na maberamu walisikika wakipiga nara dhidi ya utawala haramu wa Israel na kutoa mwito wa kufanyika uchunguzi kuhusiana na kashfa ya ngono inayomkabili balozi…

Mazoezi ya vikosi vya nchi kavu vya jeshi; maonyesho ya nguvu na uwezo wa Iran ya Kiislamu

Mazoezi ya vikosi vya nchi kavu vya jeshi; maonyesho ya nguvu na uwezo wa Iran ya Kiislamu

Mazoezi ya Uwezo 1401 ya jeshi la Iran yanafanyika kwa muda wa siku mbili kwa lengo la kutathmini na kuboresha kiwango cha nguvu na utayari wa kupambana wa Jkikosi cha Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na vitisho tarajiwa. Mazoezi hayo yalianza jana Jumatano kwa kushirikisha askari wa miguu, drone,…