Waandamanaji wa Italia walikusanyika katika mji wa bandari wa Genoa kuzuia upakiaji wa silaha zitakazotumwa kwa serikali ya Yemen iliyojiuzulu. Raia wa mji wa Genoa nchini Italia walifanya maandamano siku ya Ijumaa asubuhi kupinga utumaji wa silaha kwa serikali ya Yemen iliyojiuzulu. Wananchi wa Genoa, wakiwemo wanafunzi na wanachama wa vyama vya wafanyakazi, waliandamana hadi…