#joho

Sonko aruhusiwa Kuwania Ugavana wa Mombasa, Presha kwa Abdulswamad Shariff Nassir

Sonko aruhusiwa Kuwania Ugavana wa Mombasa, Presha kwa Abdulswamad Shariff Nassir

FARAAN:Majaji watatu wa Mahakama Kuu mnamo siku ya Jumatano tarehe 13 July 2022 walimruhusu aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Mike Sonko kuwania wadhifa huo Mombasa, hatua inayotarajiwa kumtia presha mwaniaji wa ODM Abdulswamad Shariff Nassir. Bw. Nassir amekuwa kifua mbele kwenye azma ya kumrithi Gavana Ali Hassan Joho, lakini hatua ya majaji Olga Sewe, Stephen Githinji…

Wanasiasa jijini Mombasa Waahidi Kufanya Kampeni Kwa Amani

Wanasiasa jijini Mombasa Waahidi Kufanya Kampeni Kwa Amani

Wagombea ugavana na viti vingine vya kisiasa katika Kaunti ya Mombasa, wametia sahihi makubaliano mbele ya viongozi wa dini kwamba watadumisha amani katika kipindi chote cha uchaguzi wa Agosti. Mkataba huo wa Amani, uliandaliwa na Baraza la Kitaifa la Makanisa ya humu nchini (NCCK), Baraza kuu la Waislamu nchini (SUPKEM), Kongamano la Mapadri wa Kikatoliki…