Mabaharia nchini wamejivunia jinsi walivyotoa rehani maisha yao katika kipindi cha Uviko-19 ili kuhakikisha wanaendelea kufanya kazi usiku na mchana kwa ajili ya kupandisha kiwango cha uchumi wa Tanzania na Dunia kwa ujumla. Mabaharia hao wameeleza hisia zao Juni 29, 2022 ikiwa ni siku chache tangu yalipofanyika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mabaharia yakiwa…