#khalifa_bin_zayed

Rais wa UAE amefariki dunia

Rais wa UAE amefariki dunia

Shirika rasmi la habari la UAE lilitangaza kifo cha rais wa nchi hio. Kulingana na huduma ya kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, shirika rasmi la habari la UAE (Wam), leo hii (Ijumaa), limetangaza kuwa “Khalifa bin Zayed Al Nahyan” rais wa nchi hii amefariki dunia. Shirika rasmi la habari la Imarati limeandika: Wizara…