Profesa Nasser Simforoosh wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Tiba cha Shahid Beheshti cha Iran ameshinda tuzo ya kielimu ya juu ambayo hutolewa kwa madaktari bora duniani katika fani ya mfumo wa mkojo (Urorogist). Dakta Simforoosh ambaye ni mhadhiri na mwanachama wa Akademia ya Kisayansi katika Chuo Kikuu cha Sayansi ya Tiba cha Shahid Beheshti…