#Kilimanjaro

Wanafunzi waliongoza 10 bora wataja siri ya mafanikio

Wanafunzi waliongoza 10 bora wataja siri ya mafanikio

Moshi. Wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi kitaifa, wa Shule ya Sekondari Wari Wilaya Hai mkoani Kilimanjaro, Philipo Ng’eleshi (PCB) amesema siri ya mafanikio ni  kuongeza bidii ya kusoma. Shule hiyo  inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi  ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo imetoa wavulana wawili kumi bora kitaifa, masomo ya sayansi, Philipo Ng’eleshi (PCB)  alishika…